2.Jifunze nakufanya mazoezi kadri ya uwezo wako
3.Jifunze nakufanya mazoezi kwa moyo mmoja
4.Uwe mwenye tabia ya upole, umadhubuti, uwepesi na ulaini
5.Tunza afya yako
6.Maisha yako yawe ya kaiwaida yasiwe na makuu
7.Usiwe mwenye kujiaminisha sana wewe mwenyewe
8.Mwili na fikra zako ziwe kitu kimoja
9.Mafunzo hayana mwisho
Mnaosema karate mchezo wa kihuni mnaona nguzo hizo? je kuna mtu anaweza pinga moja kati ya hizo nguzo kuwa ni mbaya? Mambo hayapo kama unavyofikiria!!!!
muelimishaji2009
No comments:
Post a Comment